Sawa kabisa wewe takwimu za kila mwaka.kuna njaa umezitoa wapi wakati mkuu hakubali hilo ? issue yake ni fix tu ila kuna maeneo anafanya kazi vizuri kila binadamu ana mapungufu basi na yeye asiogope kurekebishwaHapa juzi kati tulikuwa na MTU anachekacheka, kilichotokea wote tuliona hadi twiga akakwea pipa huyoooo Arabuni. Sasa tumepata bulldozer mnaanza kulialia!
Tulia dawa ituingie.
[HASHTAG]#kilamwakatanzaniakunanjaa[/HASHTAG]