Hivi ukiondokana na CCM utaweza kuishi.
Unadhani utaishi kwa maisha hayo unayoishi sasa hivi kwa misheni town?
Unadhani utauziwa vyakula kwa mafungu
Unadhani utajenga kiholela kama sasa
Unadhani Afya itakuwa nafuu kama sasa?
Hiyo ndio shida, huwa hawatumbii ile kitu iliyomtoa kwenye uchuuzi ikamfanya kuwa juu. Hakuna anaesemaga hilö dili möja au hiyo kafara moja iliyombadilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.