Mzee kata gogo umalize Kisha usome tena ulichoandika, kama wewe ni mjanja mjanja Kwa Lissu usijaribu utaumbuka unatakiwa kuwa competent ndo angalau utafika raundi ya pili vinginevyo wabunge woote wa ccm wakiwa upande mmoja Lissu peke atawafurumua kama siafu wanavyofurumuliwa na mhanga
Inamaana hamjui kama hilo nalo ni BUMUNDA jipya? Mtu kanene Hadi mate ataongea Nini? HAPA ccm mmeweka galasa, LISSU anajipigia tu atakavyo yaani ni mwendo wa kuwabinua tu na hakuna mwenye hoja mbele ya Lissu
Ukitaka kuharibikiwa na ni kumkosoa Lissu, kwani yeye Hana porojo katiba ya jmt na Ile ya Zanzibar na miongozo pamoja na kanuni ndiyo dira yake ya kujibu maswali ndo maana watu kama akina nape, makamba, rizimoko, muchemba Madelu n.k hutosikia wakijibu chochote dhidi ya Lissu kwakuwa hawana Cha...
Yaani mwigulu huyuhuyu Madelu unamuomba abadili uchumi? Hivi unavijua vichwa vya kubadli uchumi hasa level ya taifa? Madelu huyu alitakiwa kuwa na cheo kwenye chama eg mwenyekiti wa MACHAWA lakini kazi ya kitaalam Madelu ni mwupeee kama pamba
Mtu alisha piga cha arusha, cha njombe, cha uvinza, cha simiyu, cha milima ya uluguru, cha ruvuma yaani bangi za mikoa yoote nchi hii amevuta unategemea anaweza kuwa na busara?
Vyuo vya ulaya na US vilitishia dunia zamani lakini katika dunia ya leo ukienda Apollo hosp. Kule india wataalam wa moyo, upasuaji wa ubongo wabobez waliopo pale wengi wamesoma india, china, Thailand, Singapore n.k Mfano mwingi ni Iran unasoma pale hadi unatengeneza hypersonic missile hata...
Mleta mada ana hoja Mfano mataifa ya ulaya wasiozungumza kiingereza Mfano France, German, Italy, Spain, Belgium, scandinavia n.k. kiingereza ndiyo lugha muhimu Kwa lugha za kigeni wanafundishwa vizuri na wanakiongea kama kikwao utagundua wenzetu wapo strategic na hawaja temper na elimu sasa...
LISSU, MBOWE, MNYIKA, MSIGWA Hawa watu walimtesa sana magufuli Hadi Lissu kupigwa risasi Kuna babox mengi sana ya mikate kutoka BIOT aliyakataa tena Kwa kejeli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.