Search results

  1. Maseke ya Meme

    Sasa hutavaa miwani tena hii hapa dawa ya kupoteza kuona imeshagunduliwa na mtanzania mwenzetu wazungu waikubali

    Ningeshangaa sana daktari mtanzania agundue dawa? Labda ya kienyeji, kwa technology gani tuliyonayo ya kuisolate vitamins au vitu vingine toka kwa mimea anayosema. Tunaweza kula matunda kimasiahara tu, haya mengine tuwaachie waliowekeza kwenye elimu, tech na utaalam. Uzuri wanatuuzia tunameza tu...
  2. Maseke ya Meme

    Sasa hutavaa miwani tena hii hapa dawa ya kupoteza kuona imeshagunduliwa na mtanzania mwenzetu wazungu waikubali

    https://www.youtube.com/watch?v=WB6sqE5Z9AY Mbona mwatuchanganya? Ibrahim au Fatema na hizo nutrients zinarekebiesha refractive errors? Hope ni km GNLD na wenzake kina ARGI+
  3. Maseke ya Meme

    UZUSHI Meta yatangaza Mabadiliko ya Sera kwenye Mtandao wa WhatsApp kwa Mawasiliano Binafsi pamoja na Makundi Sogozi kuanzia Machi 22, 2024

    Hakuna mtu anayeweza kuhack Instagram wala whatsup unless umempa credentials zako mwenyewe iwe kwa hiyari, trick au kwa nguvu. Acha kudanganywa, by the way ahsante kwa taarifa
  4. Maseke ya Meme

    Mabinti wanaomaliza vyuo na kurudi nyumbani wananyanyapaliwa sana na wazazi kuliko vijana wa kiume

    Kibongobongo wazazi wanajua wakishakupeleka shule na kukulipia ndio washakumentor hivyo, baada ya kukua ukiwa kwenu mkuu! Na wewe ukienda shule ukadesa ukarudi home na makarai yako ujue huna tena chumba! Washachukua wadogo zako. Tukiacha unafiki mzazi gani anamentor mwanae mkuu? Mzazi anajua...
  5. Maseke ya Meme

    Ushauri: Rais Samia naomba umfukuze kazi Mkurugenzi Mkuu wa TBS mara moja

    Soma heading yako kama kuna ushauri hapo au sentensi kutunga hujui pia? What's "mara moja"?
  6. Maseke ya Meme

    Suala la mchele imeonesha wazi kuwa nchi yetu ina hazina kubwa ya watu wenye akili ndogo

    Utafikiri kuna hata jambo moja tu tunaweza kulifanya kwa ufanisi! Hatuna mchango wowote kwnye maendeleo ya dunia lakini mmidomo yetu kama chuchunge yani
  7. Maseke ya Meme

    Ushauri: Rais Samia naomba umfukuze kazi Mkurugenzi Mkuu wa TBS mara moja

    Wabongo bana kwa kujipa umuhimu dah, we ni nani umwamrishe Rais wa nchi cha kufanya ukiwa unakula ngisi huko uswekeni! Pole sana kwa frustrations
  8. Maseke ya Meme

    Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?

    Tuna utapiamlo tu wa akili na mwili usijali watajenga wajukuu zetu km tutaanza kuwapa lishe sahihi kuanzia leo!
  9. Maseke ya Meme

    Msaada wa chakula toka USA ni kuichafua Tanzania

    Mkuu hoja kubwa hapa ni "kwa nini Marekani" sio kingine chochote, watu wanasahau America ni big brother, ni kama maji usipoyanywa utayaoga, usipoyaoga utayafulia nk nk. Hao wanaotajwa km Russia na wengine nao pia wanapata misaada ya US, hamna namna ya kukwepa hata apakwe mavi kiasi gani is there...
  10. Maseke ya Meme

    Msaada wa chakula toka USA ni kuichafua Tanzania

    Sio timu ya taifa tu, watanzania wote tuna utapiamlo wa kudumu, tunaanza kuupata tangu utotoni kwa kuwa wazazi wetu pia walikua nao. Angalia sekta zote wapi kuna mahali tunafanya vizuri? Kuna watu hapa kwa unafiki tu wanasema Mbeya kuna mchele ukanunuliwe wakati hata kutosha tu wananchi...
  11. Maseke ya Meme

    Kufuta falsafa - Afrika tunatengenezwa mataahira

    Halafu tukiletewa msaada wa fortified rice tunasema nchi inachafulliwa, inachafuliwaje wakati ni chafu miaka na miaka, unawezaje kuchafua dumpster?. Kuna kitu gani tunafanya kutumia hata robo ya akili ya kibinadamu? Kila kitu sisi wa mwisho hamna cha kujivunia hata kimoja, hata kulisha familia...
  12. Maseke ya Meme

    Mabinti wanaomaliza vyuo na kurudi nyumbani wananyanyapaliwa sana na wazazi kuliko vijana wa kiume

    Kimsingi inaondoa kabisa maana ya kwenda shule! Inamaanisha umeenda na kurudi na boksi tupu, elimu ilitakiwa ikubadilishe tofauti na ulivyokuwa kabla hujaondoka kwenu. Ukitoka nenda kapambane usirudi kwenu. Ndege wa angani vifaranga vyao vikikua wanavunja kabisa kile kiota ili watoto hata...
  13. Maseke ya Meme

    Mabinti wanaomaliza vyuo na kurudi nyumbani wananyanyapaliwa sana na wazazi kuliko vijana wa kiume

    Hakuna mzazi pia anayependa mwanae arudi nyumbani baada ya kuhitimu chuo kikuu kwa uwekezaji mkubwa aliohangaika kumsomesha, kurudi kuja kugombea ugali na wadogo zake. Mzazi wa enzi zetu ilikuwa kijana akienda chuo na chumba chake kinapangishwa au wanachukua wadogo zake. Mzazi anapenda baada ya...
  14. Maseke ya Meme

    Msaada wa chakula toka USA ni kuichafua Tanzania

    Utapiamlo ni shida kubwa ya nchi wala sio Dom, tuna chronic malnutrition ndio maana tunafanana wote tu! Awe profesa au mtawala hana tofauti na mzee wangu kule mbwilike ambaye hajui hata kusoma hela. Hatuna kitu tunafanya vizuri iwe michezo across all fields hadi uchungaji na ulokole wetu ni...
  15. Maseke ya Meme

    Msaada wa chakula toka USA ni kuichafua Tanzania

    Unahisi tunapungukiwa nini? Akili yetu inafikiria luxuries kwa watawala tu, magari ya 600m tutapataje tukinunulia maskini chakula? Ndege je? Tunataka ndege mpya za viongozi, wanaodumaa wanajitakia wasubiri tu Biden aguswe
  16. Maseke ya Meme

    Mabinti wanaomaliza vyuo na kurudi nyumbani wananyanyapaliwa sana na wazazi kuliko vijana wa kiume

    Huku Marekani, mzazi anakata huduma kwa mtoto kuanzia miaka 18, ataendelea tu kumsaidia kama bado anasoma! Awe wa kike au wa kiume, hata km anaishi kwake lazima achangie rent au alipe rent nzima. So sio habari ya umaskini bali ni human nature japo uchumi wa Tz hauruhusu. Technically mtoto...
  17. Maseke ya Meme

    Unapoona Rais anatengua na kuteua mara kwa mara ujue Vijana wenye sifa za uongozi huko CCM ni haba ndio sababu Magufuli aliwachukua Chadema!

    Vijana wenyewe wa caliber ya mwashambwa, hata ingekuwa wewe ungewachagua kwa chochote? Anapata kazi kubwa sana mama watu kupata team ya kazi
  18. Maseke ya Meme

    KWELI Msongo wa Mawazo (Stress) husababisha mtu kula sana na hatimaye kuongezeka uzito

    It's both ways kwa sbb ni psychological, kuna watu wanakula sn na wengine hawali kabisa kuelekea distribution line! Human beings reacts differently to stress based on personal stress threshold that's strongly related to makuzi na stress levels at younger age
  19. Maseke ya Meme

    WOMEN'S DAY: Tunao wanawake wenye uwezo kama Margaret Thatcher na Angela Merkel?

    Wakiacha fikra za kuongeza matako na kusaka mikorogo new model tunaweza kupata vizazi vijavyo, kutoka kwa wajukuu zao
Back
Top Bottom