Watafute abudhabi sport online kununua rec`zao na unahitaji dish ya ft.9 kuwapata lakini hutowapata al jazeera(asc) sport+6-asc+10 wamehama satelite.card yao unalipia 100 usd mwaka 1.
:lol: Hana lolote huyo hajui kitu kabaki kusema zambi,zambi tu kama yeye mtakatifu wa Roma.Hii inawezekana kwa 100% hakuna cha DSTV wala king`amuzi gani cha bongo. Nitafute kkilonzi@hotmail.com Пусть все...
Hakuna atakae faidika zaidi ya viongozi tu,maana Tanzania hatuna hatakichwa 1 mpaka leo aliye somea tecnog ya nyuklia ni uwongo mtupu hii ni kwaajili ya USA ndio maana hawaishi kuja hapa na kutuaidi umeme wa uhakika kwasababu ya hii.
Wadau naomba kuuliza kwa kila anae tumia king`amuzi cha Easy tv,kinachakachulika ? maana wanatusumbua sana katika channels 32,ni 13 tu ndio zinaonekana na LC channels zote wametoa,na nalipia kila mwezi.
Nasikitika kwamba hakuna ambae ameweza hata kushauri ! nimepata ufumbuzi na sio kwa Easy pekeyao,kwa ving`amuzi vyote venyeuwezo wa kupoea data kupitia port za nyumba.
Usipate shida hii nisawa namalipo mengine yoyote kupitia njia ya bank,inakulazimu kuwa na moja kati ya zifuatazo kwa card za bank pay online. Viza,Master,Elecronic cards,zipo nyingi sana,lakini tunazo tumia tanzania ni chache,lakini inawezekana.nimetumia visa card kwa kununulia tiketi ya ndege...
Wadau, natumia Decoder ya Easy Television,huwa nakilipia kila mwezi,chakushangaza kwenye hiki king`amuzi kina ch:32 lakini ninauwezo wa kutazama Ch: 18 tu na nyingine zinanidai Pin code ! kunayeyote mwenyekufahamu namna ya kuking`amua/ kukichakachua nachenyewe ? napenda kutanguliza shukran kwenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.