Mie naona hata Faiza ni mjinga tu.kama aliweza kumwacha aende mby at 3 years inamaana kuko vizuri na ndo maana dogo anaendelea kwenda. Na kule no kwao.mama atapost,baba wadogo,mashangazi na hata majirani. Atazame tu.
Lakini mkuu kilalangona haiwezi kusomama peke yake. Hapo vya kutangaza ni vingi tu ukianzia moyowosi huko na mapango yake ya ajabu ajabu huko Nduta mpaka Malagarasi na mabwawa yake ya Ilunde yanayoungana na Urambo huko.
Kama ilivyo ada watz sisi ni kizazi sawa kabisa na wakorintho...tunapenda kuchunguzachunguza ili tupate kujua,sasa naomba kuuliza. Hivi "first gentleman" wetu ni nani?maana hatujawahi kumuona,na Kama hayupo mabaria tupeane majukumu.
Ova.
Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.