Chondechonde usije kufanya mashabk wa vyura fc wakapata prexha, waoga kwel wakisikia neno mnyama na mbao ndo usiseme kabsa.[emoji28] [emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
jamani kama mtu atasikia kuna gari aina ya Noah inauzwa Tsh. 5000000/= haina tatizo lolote, mwache tyu aiuze me sina hela saiz.[emoji32] [emoji32]
Sipendagi ujinga mm[emoji28] [emoji28]
Tanzania haipelekwi kwa shinikizo la nchi nyingine, wala haijawai kulialia, kama raisi mstafu kikwete aliwakomesha mlipozuia magari ya utalii kuingia airport mpaka mkaomba suluhu.
I'm even not imagine on this government of JPM, "if you think that your free not to that extent". [emoji12]...
we jw sio kazi yao kuhusu machinga wale ni vijana wa kazi, ila kdf wanajifanya wababe kwa innocent people but when come to alshabab their are very good in [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
walisurrender nn, acha ufinyu wako wa kufananisha vitu ambavyo havifanani,Tpdf is another level compare ur army with yeboyebo men who kill u daily.
owkey u nyangau..!
Kenya hamna jeshi na msije mkajalibu kuichokoza Tanzania maana kama Uganda alichapwa ndani ya mwaka, Kenya haitachukua mwezi tutakua tumemaliza biashara.
Uganda wamechukua kisiwa chenu lakini Bado mnaendelea kujiaminisha mna jeshi bora, muwe mnauliza hao migambo wenu kuhusu jwtz acheni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.