Hivi
'democracy ya kenya" walioililia kina G.Lema na P.msigwa ndo hiyo!!!!? wakiwa live,kule kenya walisifu kuwa kenya wako mbele sana kidemocrasia kuliko Tanzania!!
mm naona sisi ndo tuko mbele kidemokrasia kuliko wao!
wao ndo wanapaswa kuiga kutoka kwetu.....
yaani Tanzania tuige hayo ya...
huyu jamaa anajitahidi kweli kuleta maendeleo ya kweli
lakini kuna baadhi ya watu hawaridhishwi na wanapuuzia utendaji kazi wake!(magufuli)
-anajenga reli (treni ya umeme) ambayo kwa tanzania ilijengwa miaka zaidi ya mia iliyopita,leo anaijenga.!!
anatimiza mradi mkubwa wa umeme wa...
Kati ya mambo yaliyoiharibia ccm,na magufuli!,
ni jambo la Rais kutamka hadharani kuwa,Hataongeza mshahara.
swala hili limeondoa IMANI yooote!ya wafanyakazi kwa serikali na chama tawala kwa ujumla.
Ni afadhari asingetamka hadharani!!
watumishi wote wamepoteza mzuka na ari ya kazi,na hawa ndiyo...
Waswahili husema "ukizoea kula nyama ya mtu hutaacha" ni lazima utaendelea tu!
Wengine husema "tabia ni kama ngozi, kuibadili ni vigumu"
Imesikika mara kadhaa, Rais akisema hii nchi imechezewa sana, tena imechezewa vya kutosha"
Lakini anawaficha wachezeaji wa nchi na rasilimali za...
Nimekuwa nikiwaza sana,kwa nini msemo(slogan) ya JPM ya hapa kazi tu,imekuwa ngumu sana kusahaulika akilini au kuisha midomoni na mioyoni mwa watu!!?kuliko sera za marais waliopita!!?ni wazi na nidhahiri kuwa sera ya "hapa kazi tu"inawatesa sana hawa watu,wanatapatapa sana katka vikao ving ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.