Generally 300k-500k. Mshahara utategemea na kampuni yenyewe na wingi wa properties zilizopo jaribu kuchek na watu waliopo kwenye kampuni uone wingi wa kazi (properties zinazomilikiwa na kampuni) na range ya mishahara yao
Kwa hivi vitoto vya farao sio siri serikali itajua haijui. ukimtia mimba mwanafunzi chap kwa wazazi wake mnayamaliza kifamilia na kwa kuwa mshua anajua mwanae mwaka kesho atarudi shule basi unampoza kidogo then anaweka mambo sawa life linasonga. Baada ya miaka miwili tutaona matokeo ya huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.