Search results

  1. B

    Bachelor of science in chemistry ni zaidi ya uijuavyo

    laboratory scientist= is a person who works in a laboratory: lab technician,,physcian,,processor engineer,phamacist & etc; both they are laboratory scientist(works in laboratory). tatizo lako nalijua umeshindwa kutofautisha identinty ya mtu aliesoma bsc in lab...
  2. B

    Wale wa UDOM diploma tukutane hapa tupeane info za muhimu

    Hii si ndo ilifutwa kwa wale vijana kutimuliwa??
  3. B

    Bachelor of science in chemistry ni zaidi ya uijuavyo

    A chemist is not a laboratory scientist?? nisaidie msomi!! itapendeza kama utafafanua!!
  4. B

    Anaefahamu vyuo vinavyotoa masters online hata vilivyo nje ya nchi anisaidie

    wewe ni graduate kweli! sitegemei graduate aulize swali kama hili..unaona bora watu wakutajie kuliko ku-search?
  5. B

    Uliza chochote kuhusu Mwenge Catholic University (MWECAU) nitakujibu.

    Kwa hizi zama , mkuu /makamu mkuu wa chuo wanatakiwa kuwa maprofesa, mfano mzuri ni udom mbali na hao hata principal wa college lazima awe profesa,,dr(daktari) atakua dean tu!!!
  6. B

    Pongezi; Mzumbe University Ranks No. 2 After UDSM

    Hata mimi pia huwa nashangaa hiki chuo wanakiita cha kata but kwenye rank akitoki top 5! na pia unashangaa kcmc inafungiwa MD but udom inasurvive!!
  7. B

    Njoo Decca College of Health and Allied Science

    mkuu mazingira ya kujifunzia yakoje?? panaeleweka..
  8. B

    PSPA/LLB Mzumbe kwa Diploma holder

    inawezekana ni kijana mdogo hujui historical background ya mzumbe,,kilikua chuo cha certificate na diploma so wanaamini kupitia huko(falsafa yao).. Narudia,,mzumbe ndicho chuo kinaongoza kuchukua diploma na wanahitaji D 4 o*level..
  9. B

    PSPA/LLB Mzumbe kwa Diploma holder

    kaka mzumbe ndiyo inaongoza kwa kuchukua diploma holders wao wanataka D 4 tu o*level omba hapo mkuu utapata.
  10. B

    Wasomi naomba kuuliza hivi kuna degree ya biology

    wewe huijui bsc chemistry better you keep silent, bila shaka ufatilii hata matangazo ya kazi..
  11. B

    Tujuzane vigezo vya kutoka Diploma kwenda degree kwa kozi tofauti.

    lakini pia afya kwa sasa wanataka *c* 2 o'level siyo D 4 tena na pia baadhi ya vyuo kama muhimbili na udsm wanataka credits 3 o'level.
  12. B

    Mwalimu Victor wa TPSC Tabora kwanini unafelisha wanafunzi makusudi?

    huku nako Mama ndalichako akiweka "C" 2 ,Kujiunga na hizo certificate atakua ametibu ujanjaujanja wa kusoma na D 4!
  13. B

    Vyuo na programu zilivyozuiliwa kudahili wanafunzi wa mwaka wa kwanza kwa mwaka wa masomo 2017/18

    nimeshituka kusikia KCMC, imefungiwa course zote.lakini kwa udsm na udom ni sawa kabisa, udsm kuna course za sua wamekuwa wanacopy na kupaste bila kujua wenzao wamejipanga,,mfn, hiyo agricuture engineering ni more practical unaitaji kuwa na shamba,so kuna uwezakano hawa...
  14. B

    Serikali imetoa kibali cha ajira ya watu 10,000 kuziba pengo la watumishi wa Vyeti feki.

    Hii serikali sasa inatoa vibali tu vya ajira na siyo ajira...kila kukicha kibali...duuh tumechoka.
  15. B

    Naomba kufahamishwa faida na hasara za kusoma diploma

    Na ukitaka kujua ukweli angalia selection za udsm zamani ilikua vigumu sana kudahili diploma holders! now wanachukua kwasababu ya uhaba na ushindani wa wanafanzi...pia muhimbili hata kama unaomba kupitia cheti cha diploma walitaka uwe umepitia...
  16. B

    Naomba kufahamishwa faida na hasara za kusoma diploma

    lkn pia wewe una D 4 umeenda kusoma diploma, mwenzio less say ana B+ zote kwenye comb yake mkipeleka vyeti kwa ajili ya interview utakuwa shortlisted waache B+? tuache kudanganya! tukubali tu kuwa diploma ni option na ni altenative pale mtu...
  17. B

    Naomba kufahamishwa faida na hasara za kusoma diploma

    zamani kwenda kusoma certificate→diploma→degree. ilikuwa kwa mtu aliefeli(except waliochaguliwa vyuo vya ufundi na serikali) ukweli ni kuwa kama ujapita advance heshima yako kitaaluma ni ndogo,,viongozi wakubwa na academicians wanaoheshimika hapa TZ wote wamesoma...
  18. B

    Vipi kuhusu ajira za TRA wa walioajiriwa serikalini.

    mkuu ninaomba list za mashirika hayo ya umma(full)..nmejaribu kugoogle sjafanikiwa.
Back
Top Bottom