Hivi wanakatwaga VAT kweli? nina miaka 3 sijasali kanisa katholiki ndiyo kanisa langu ....
na nikidanchi wasipo nizika kwa ibada waniache hapohapo niwanukie
Mbona ma lecture wengi ni madomo zege ...huponea kwa vidada ambavyo havijielewi kwa kushikwa sup tu kamevua ngua. Harafu hao malecture tabia zao utaona kwenye milango ya ofisi zao ...
Tangazo
Muda wa consultation ni kuanzia saa 13:00 PM mpaka saa 18:00 sasa fatilia hiyo consultation wanakuwa...
Hili la Jiwe la Fatuma ndiyo lina nikela mpaka leo....hivi wale jamaa waliokuwa wanafanya wizi wa namna hii kiumri sasa hivi ni watakuwa wamezeeka sana ingawa ujuzi wanao bado .....
Sasa kwanini mseme kijiji bila wazee ni fujo ?
Mimi ndiyo maana wazee wasikuhizi siwaamini maana ndiyo walikuwa...
Harafu voda com ....nimekuwa nikifatilia salio kwenye simu yangu nikiweka salio mfano 2000 harafu nikatuma sms 1 baada ya siku mbili nikiangalia tena salio na kuta limebaki 4.51 haya ni mambo ya ajabu kabisa......sasa hivi naanza kutembea na daily na record kila nitapo weka salio na baada ya...
Voda com ...mtandao wenu ni wakidua sana ...aiwezekani mteja ana emegency anawapigia simu harafu mnaweka ki voice note cha kipuuzi ....eti "Kwa kingereza bonya 1 kwa kwa huduma nyingine za kiswahili subiri"harafu ukisubiri " mnajibu tumeshindwa kutambua chaguo lako" huu si upuuzi kabisa...
Vodacom now nawashitaki mahakamani kwanini umeniibia salio langu LA simu Mara kadhaa Kwa kuniunga kwenye huduka ambazo sijawahi hata kufikiri kurequest nizitumie? Kama huu ushuzi mlio anzisha uitwao UNSUB?
Hakika mmezoea sasa tutakutana mahakamani Kwa fidia ....nimechoka na usumbufu huu
Vyuma...
Hii show room ipo mtoni kwa Aziz ally kwenye Ofisi za CCM Jirani na shell ya mafuta Oil Com..ukiwa unatoka mbagala ipo upande wa kushoto kwenye kituo cha Dalala za Tandika kabla hujafika roundabauti ya kwenda tandika,uhasibu,na kuingia sokoni kwa kabume......kama unatokea Tandika hiyo show room...
Basi hilo lilikuwa linaitwa ILANGA MOTO nyuma kwenye bampa lilichorwa picha ya rungu harafu likaandikwa BANYAMULENGE aisee .....ilikuwa kiboko sana wakati mabasi ya UPETE, MATEMA BEACH, MWANAHAPA, WIDAMBE,EMBAKASY Yalikuwa yanabwela tuu....zamani raha ...wakati huo ndani music ulikuwa tshala...
Nahitaji kuagiza mining detector ya gold,Gemstone,na madini mengine....kupitia DHL vp si ndiyo watakolokochoa kabisa wakizani kifalu ????
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wakufunzi(lectures) wa vyuo vikuu aisee hawa nao peponi ...hawataiona zaido zaidi waweza kuwa kuni wawalimu ...maana waalimu ni wanafiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaolewa na wazee kwasababu ..wazee wanapiga Kimoja kila baada ya wiki kisha wanalipa laki mbili....
Sasa vijana wanakugonga show ya maana yaani goli 6 au 7 Per day harafu anatoa buku tano .....sasa heli ya wazee bhana ...kwahiyo akina mzee Akudo watatupiku sana..
Sent using Jamii Forums...
Pole kwa masaibu yaliyokukuta ...ila naomba kuuliza kuna mtindo umeenea siku za hivi karibu kuwa ...mtu unapata demu mpya at a day unampima wengi hukuta negative kisha huanza kugegeda mbichi je hii kiafya unaizungumziaje?
Pia wengine hutumia Ky kugegeda papuchi kuepuka HIV je wapo salama kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.