Binafsi nilitembelea hospitali ya Muhimbili jana, nikiwa nimeenda pale Institute ya Jakaya Kikwete, nikakuta hamna parking kabisa nikaelekezwa kupaki upande wa clinic ya watoto. Na kufika upande huo nikakuta parking zilizopembeni ya jengo zote ni za staff, sisi wengine tunapaki nyuma huko karibu...
Ukatikaji wa mawasiliano katika mtandao wa smile kwa sasa limeanza kuwa jambo la kawaida sana. Kila wakati mtandao wao unapotea hewani na hawatoagi feedback yoyote unaporudi kwa wateja wao.
Ila pia kinachokwaza ni wizi unaoendelea kwa hivi sasa. Kwa mara kadhaa umeshawahi kupotea na bundle za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.