kwakweli mtafute mtaalam wa kienyeji na wala usipotrze mda kwanza mshauri afanzafanueafanye vipimo ospitali asipopata jawabu basi amuone mganga wa kkweli nasio tapeli
Naam mzizi mkavu, Habari za siku 2/3 hivi je mimi uwa ninatatizo kubwa la kiafya, lila mara ninapo jielekeza maabara kuchukuluwa dam kwa kipimo cha malaria iwe ya mshipa ao ya kidole uwa sipatikaikani maleria ila ninapo tumia dawa tu napona aijui ni kwanini? Waweza kunisaidia kitu chochote hapo...
Naam nimewasikiliza ote wadau ushauri vado nimzuri tu samahani kwa kiswahili changu mana mimi simswahili, tatizo ilo bado linanisumbua ata mm kwaio dawa upatw mganga wakienyeji akupe majimajani flani upige mwino mana unapo chelewa ata mapafu yataharibika
Eshima zenu wa kubwa, mimi nineipenda sana mada hii ya matambiko, mm nimesumbuliwa sana mwaka jana mwishoni adi mwaka huu bado mgonjwa nimepima vipimo aina zote hospitali bila nafaabikio ya NEGATIF sasa ndipo nilipoanza kupitia waganga wakienyeji wakaniambia kua Asili ndio inanisumbi bila...
Habarizeni wa dau? Nawaombeni mnisadie mm nimgonjwa na sumbuliwa na Ulcers ambaya ni gesi nyingi tumboni ila sina vidonda tumboni! Ila natinanatumia dawa aina ya LANSOPRAZOL 30mg Kwakwel sina maumivu makali ila yapo kidogo kidogo,
Kinacho nisumbua hasa ni mgongo kuuma na moto pia masaa24 miguu...
Hali zenu jamani, hayo yamesha nikuta hata mm mwili ua unatetemeka kwa muda wa msa2 hivyo ao vidole vya mkono utetemeka kama mzee wa miaka 90 vile, nilifanyiwa check up Ospitali nchini south Africa ndani ya Free state bethlehem mpaka pentown lakini ikawa negatif , ilibidi nishuke home sweet...
Naam ata mm nikijana mwenye umri wa miaka 37 nimejielekeza nchini Africa ya kusskusini kwakutegemea nakwenda kutafuta ili niisaidie familia yangu na ninekaa kule kwa muda wa miaka 10 bila mafaanikio ilifikia siku nime banwa vikali na vidonda vya tumbo ika ibidi nielekee hispotali baada ya...
Naam mimi naitwa maabadi rakim na aqua, malumbano yenu naona mnapelekana vizuri sana mm pia ni mwislam, mada ilikua kuzungumzia majini ila mmeingia mpaka kuelimishana nakila m1 hujiona yeye ndie mwenye haq sasa bas upa de wangu mimi naweza kuekusema ya kua wewe mkristo unatakiwa kubadilika nakua...
Hi wana JF mimi ua nafurahi sna pale mzizi mkavu akichangia mada ya maradhi yanayo tusumbua nashangaa kwa hili la chembe ya moyo hhajiusishi ! Inama niugonjwa uso julikana japo si mara ya kwanza nausikia nilisha wahi kumiona mtu akiwa taaban na akatibiwa na bibikizeemflani akitumia glasi ya...
Natoa hi kwa wazee na vijana, uchawi upo na anae ponya ni Allah pekeake waganga nisababu tu, na mganga wakweli ni yule anaeanza kukutibia na pesa unamlipa baadae.
Nikweli bana msitupe presha kuna dalili nyingi sana za VIH Acheni nanyie waulizaji ukijishuku unabidi ukapime ndio njia sahihi usijipe presha zabure pengine huna umelogwa misum ya kichawi wewe unazani kua unaukimwi asanteni
Habari zenu umu ndani wengi tuna changia mada nakupoteza mda lakini hatujui sababu maalum za hilo tatizo ndugu yangu jieleke hospitali kapime vipimo aina zote amna jibu zaidi yailo
Habari umundani Mimi Nina matatizo ya Gasi ndio majibu nilio pewa baada kipimo cha ENDOSCOPY mana Nina dalili zifuatazo, kkichwa kuuma kidogo Sehem Ie Vidonda vya tumbo vinaumisga mgongo Mpaka Kiuno Mara koromeo inabanwa mkono n.a. mkuu kama vile vinataka kupooza kichwano najiskia kama Nataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.