Hiyo ni movie mpya ya mungu wa dar drug diler wako na yao hata unywele haujawacheza
Hiyo ni sawa na utake kumchinja kuku umkate ukucha halafu ungoje akate roho
Hili ni tatizo la kuwa na serikali mbovu za ccm zisizokuwa na uwajibikaji ni vyema akabadili mufumu wa yeye kuonekanandio kila kitu na kuanzisha mfumo wa uwajibikaji
Umetokwa povu tu kama nguruwe aliepigwa rungu la kichwa vibaya na hakufa matokeo yake hujaeleweka hata unachosema zaidi ya kujulikana ww sio mtumishi wa uma pia
Duuu mpaka awamu hii iishe max atakuwa amepazoea jela kama nyumbani
Maana akigoma kutoa taarifa zako ndani tena
Kwa mtukufu post yako itaitwa uchochezi wa kutaka mtukufu apopolewe mawe utakoma[emoji1][emoji2][emoji2][emoji9]
Nilivyokuwa najua mm kuwa hiyo .co.tz ni tuvuti inayotumika na idara za serikali tu kumbe hata ka emeil kangu manguruwe matamu@ icloud. Com nami nikajisalimishe hakana .co.tz
Najua hapa mtoa hoja unajikaza tu nakusifia uongo ila mm nangoja ifike tarehe ingine kama hii nauhakika utaandika ukilia kama mungu atakujalia kuwepo duniani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.