unapojiunga na huduma yoyote kama hii ya mitandao terms and condition lazima zi2mike,,swala la ku2miwa sms lazima litakuwepo kwa 7bu umekubaliana nao wkt unasajili line,,,cha muhimu n kuondoka kimyakimya,,,
maajbu huwa hapigiwi kurakama yapo yapo 2,,kuna ulazima wowote wa maajabu kuwa 7,,hata kama yawe 100 yote n maajabu 2,, hata hivyo wangeshinda pesa zote za utalii zinaliwa na mafisadi wa magamba kwani mbali na hilo 2na utajiri mwingi sana ambao unaliwa na magamba,,
hao wazee ndo magamba yenyewe hayo,,wanaringa na vimishahara vyao vya diploma vya lakilaki wanajiona wana hela sana,,,hata wakiwa makazini migomo ya ualimu ambayo mkoba kila cku anawatangazia hawashiriki,,,wezi wa kesho wakipata nafasi kwani hawatafikiria wanyonge,,,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.