Kiukweli wanaume tunaweza kuvumilia hata wanawake pia swala la msingi unachoniaminisha ni kweli. Huwezi kuniambia wewe bikira kumbe unamlolongo wa mabwana sasa umeona hakuna faida uliyopata ndo unajifanya bikra shabashiiiii hakuna binadamu anayependwa kudanganywa
Uongo umechukua nafasi kubwa...
Hahahahaaaaaaaaaa umenifurahisha umejifanya mwenyewee uso wa mbuzi now umerudi. Acha ujinga inaonekana hujakua bado kimahusiano. HESHIMA mahusiano sio kama huo mchezo unaofanya. Dawa yako ni yeye kuolewa akishaolewa ndo utajua nini mana ya mapenzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.