Habari za jioni wakuu,
Niende moja kwa moja kwenye mada,
Mimi ni kijana mwenye miaka 26 na sijaoa. Tatizo langu kubwa ni hamu ya kufanya mapenzi mara kwa mara, yani muda mwingi mashine inakuwa imesimama iwe asubuhi mchana au usiku.
Nimejitahidi sana kufanya mazoezi lakini sijaona mafanikio...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naombeni kufahamishwa. Walianza kwa kasi sana ila sijui nini kimewapata hatusikii tena yake "matrilion" yaliyokuwa yakikusanywa kila mwisho wa mwezi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.