Wahenga walisema kila mpanda ngazi hushuka, Dai ndio huyo anashuka, Kiba naye akifika juu atashuka na wengine watapanda na watashuka pia. Msitoke mapovu
Matusi ni dalili za kushindwa hoja. Ukienda UK kuna waingereza weusi wanajinasibu wao ni waingereza. Ukienda US kuna wamarekani weusi wanajinasibisha wao ni wamarekani and they are right. Acha kuwabagua watu weupe wa Tz wenzetu. Unless ni chuki binafsi na roho mbaya. Mchango wa watu weupe ni...
Kumbe tunakaririshwa kuwa hakuna ukabila Tz sasa naona kuna wachaga na wapemba waarabu wakiisha itakuja wapemba weusi , wasukuma na wengineo. Tuache ubaguzi hauna tija kwetu. Nchi yetu waTz kwa kabila zetu, rangi zetu na dini zetu. Utaifa hauna chama
Hivi sababu za nchi za umoja wa Africa kujitenga na Israel zimepatiwa ufumbuzi/zimekwisha ama wamegundua yanayofanywa na Israel ni halali? Tafadhali tupeni elimu kidogo.
Ndio maana wizi wa epa, escrow na mdudu mengine wote warabu hamna wazawa wala wahindi. Na ndio maana watu wa majungu siku zote sio wazawa wala wahindi ni warabu tu. Oneni wenyewe majungu tuuuuu
Chuki za bure kwa wahindi na waarabu. Mkimaliza ya wahindi na waarabu mtaanza na kutafunana kimikoa then makabila. Hasara sana watu kushindwa kufikiri mambo ya msingi kila siku wanafikiria majungu tu. Hii ndio Jamii forum kweli!!!!?????
Haiwezi kuwa wame fail katika kila kitu hizo ndio chuki zenyewe. Kwanza hotuba ya Mh. Rais mimi binafsi nimeiona kwenye video na imerushwa na TV kadhaa nchini unless hujui maana ya video. Great minds discuss solutions acheni majungu tuambieni nini mngefanya kutatua lile mnalilidhania tatizo.
All I see ni chuki binafsi ulizinazo Critical Mind. Nilitegemea ungetoa pamoja na maelezo yako takwimu zilizo sahihi na uthibitisho ulio wazi sio kusema sijui au sina hakika. Do your homework first kabla kuleta malalamiko yako hapa. Nilitegemea ungekuwa umeeleza japo suluhisho badala yake...
Hamna mpya Kwa kweli. Badala kujenga hoja mnaleta udini na ukanda hapa. Msumbiji IMO kwenye OIC mbona hakuna madhara kwao au tatizo ni Uislam!!?? Kuweni wawazi sio mnabwabwaja tu humu.
Nimebahatika kusikia hotuba nzuri ya Mh. Rais wa JMT. Lakini jambo la kusikitisha ni matumizi mabaya ya vyombo vya Habari yaliyopelekea gazeti la Mwananchi kuandika Habari ya uongo, uzushi na kupotosha umma Kwa kusema na nanukuu " wanaotaka serikali tatu wasubiri aondoke madarakani"!!! Haya...
Sasa kimundu ndio nimekuelewa hoja yako. Kwa sababu gas inatoka mtwara ndio lazima tupate rais toka huko? Hata akiwa bishoo? Hebu kwanza tupe japo dondoo ya maendeleo aliyoyaleta Membe tangu aingie madarakani japo Kwa muhtasari tu.
Wewe Ukanya shilungo ndio huna ubongo kabisa!! Kwa hiyo kama tulikosea kumpa Mkapa ndio tusijirekebishe? Acha ulofa jibu hoja sio kutoa visa vya uke wenza hapa. Oooh Mkapa kapewa na mimi nipewe!!! Utaliwa ohooooo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.