Gari ya chini sijawah kuielewa, mzee aliniachia defender yake mwaka 2012 hadi leo ndio gari yangu na sina mpango wa kununua nyingine maybe kuiboresha hii
Nafanya kazi kariakoo naishi chalinze natumia boxer 150 mdomo wa mamba kila siku naenda job na kurudi, so mimi naona ukiipata ya design hii utafika vizuri tu
Hapana ishu sio kukua kwan wangap ni wakubwa na wana chunusi..? Chunus ni uchafu na mafuta yaliyojisukunya chini ya ngozi so inatakiwa uisugue ngoz ili iruhus uchafu utoke
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.