Halafu ukute siku kadhaa zilizopita kuna mwana kikundi ulimweleza una mpango wa kukopa hela pahala ukamfungulie wife biashara na bado hujafanikiwa![emoji848]
Internet yenu kwa KIBAHA mkoa wa Pwani ni tatizo.
Fanyeni utaratibu wa kurekebisha hill ksma lipo nje ya uwezo wenu ni vyema mkatoa taarifa kwa wateja wenu.
Habari za Leo wakuu,Taarifa za kwenye mitandao ya kijamii imesambaa taarifa ya Naibu Katibu Mkuu wa CUF Julius Mtatiro kujiunga na CCM.
Nini kimewapata wakurya jameni?
BABA MZAZI Lawena Nsonda... halafu huwa anamalizia na Kibwagizo chake cha "Eeeeeh jamaniiii... "
Nimewahi fika kwake huyu yupo vizuri Ana miradi take fresh kabisa.
Uchaguzi wa Madiwani unaoendelea sehemu mbali mbali Tanzania,imetiwa doa na wanachamw wa CCM waliyovaa uhusuka wa watu wasiojulikana kwa kuwashambuliwa na mapanga wasimamizi wa chama cha upinzani CHADEMA huko Arusha.
Wengi huamini kuwa, kichaa nimpaka awe anavaa chupi kichwani... Lah hasha!
Vichaa tunakula nap, kulala nao, na wengine ni ndugu zetu wanatangaza huko Cloudstv360
Kama ni tatizola homoni,tiba yake ni rahisi,kuna aina ya sindano mwanamke huwa anachomwa,inamaliza tatizo na hatimae mwanamke anabeba mimba nakujifungua!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.