Mkuu dini zote tunamuabudu Mungu na sio kwamba kwa sababu mtu ni dini flani basi ataenda mbinguni isipokuwa matendo yako yatakupeleka na uamini wako,dini zote zinahubiri mambo yaleyale hivyo kama una amani zaidi kwenye ukristo basi fata moyo wako.
Mkuu kwanini wasiende kuwapora na kuwaumiza viongozi waliowaibia hizo future zao,kwanini waje kwetu sisi waganga njaa ambao tumeumizwa na mfumo kwa pamoja
Kuna mtu alienda Marekani kwa dada ake walipofika Mall dada ake akamwambia nnavyokujua wewe pamoja na Watanzania tununue sahani moja tutakula wote,akashangaa Mmarekani mwingine anakula sahani nzima.
Nadhani sisi hatuli sana ila chakula tunachokula ni content za aina moja.
Hebu fikiria ambavyo...
Mimi nakushauri kama mwanamke niliyeolewa ongea nae umwambie hupendi na kiafya kuchelewa kula sio vizuri halafu chunguza kinachosababisha achelewe kupika ukute kazi nyingi,kama ni hivyo tafuta namna ya kumpunguzia kazi lakini kama ni makusudi na inakukera sana akichelewa wewe uwe umelala ili...
Sasa mkuu hapa tunatumia majina fake na hata yeye hajamtaja mkewe kwa majina kamili na by the way huku ni sehemu ya kutoa ya moyoni mana hamjuani na inatoa ahueni kuliko kwenda kumtangaza kwa watu live.
Hamna termination bila notice hilo ni kosa lazima mchakato ufanyike kuthibitisha tuhuma na unatakiwa kupata stahiki zako zinazopaswa, nenda CMA watakusaidia.
Yawezekana kabisa mkuu,imagine kufanya kitu kile kile kila siku inachosha na inakuwa haikupi maana ya maisha halafu kingine kazi za nyumbani zinachosha sana tena na watoto wawili[emoji1544]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.