Pole na miangaiko wanajanvini!
Naomba kujua kuhusu kesi ya kufumaniwa na mke wa mtu, aidha kwa kujua kwamba mke wa mtu au kutojua!, je ni kosa kisheria? Inaangukia katika kosa gani la kisheria? Jinai au?, Nimekuwa nikisikia kesi nyingi za watu kufumaniwa na wake za watu kwenye jamii na pengine...
Habari wana JF,
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu,siku moja katika pita pita zangu kwenye mtandao nilikutana na tangazo katika tovuti ya wizara ya elimu kuhusu nafasi za kwenda kusoma nchini Uingereza, Masters na PhD ambazo zinazaminiwa na Jumuiya ya Madola kama 'Full Sponsership'...
Leo nimejiuliza sana nikatafakari ila sijapata jibu kuhusu hii kitu. Hivi 'Photo' na 'Picture' ina maana sawa au ni tofauti? Kama ni tofauti naomba kuelimishwa.
Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.