CAG anaposema matumizi yake hayajulikani ina maana alimaanisha matumizi ya fedha ambazo hazijapokelewa(receivable) zitumikeje atakua ni mhasibu au mpiga mbizi?
Mfano serikali imejitetea kati ya hizo 1.5trl kuna receivable 0.6tr, kwa CAG ni makusanyo ya cash ambayo anahoji imetumika wapi...
Akijibu swali la nyongeza la mbunge Halima alilouliza kuhusu ripoti ya CAG kueleza kuna mabohari ya dawa hayana viwango, Mh Kigwangalla alianza kwa kusema anakanusha vikali sio kweli kuna mabohari hayana viwango.
Wabunge wakamjibu ripoti ya CAG imesema akijibu kwa jazba kuwa "Hiyo ni ya CAG...
Salamu wana chit chat wote.
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza,nimekuwa na duku duku langu ili mda mrefu sana Leo nalitoa.
Mabint hawa wanaukonga moyo wangu sana kiasi chakushindwa kuvumilia.
Honey Faith
even saint(sina hakika kama nimepatia jina)
Na Patience123
Kama mmewaiwa mnifaamishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.