Wakati wa kuweka kipaumbele serikali awamu ya nne alikuwemo iweje leo aseme ilikosea , ni vizuri Kikubali kuwa na yeye ni sehemu ya makosa hayo anyway ukiwa nje ya uwanja unaona vizuri makosa ya kocha labda kajifunza
takwimu za aina yeyote zinafaida kwa anaye hitaji ili achukuwe maamuzi yanayofaa kwa lengo aliliokusudia kwa walengwa,kwa hiyo hakuna ubaya kujua idadi ya wakristo au waislam au budhas,au wapagani isipokuwa anayetafuta takwimu hizo asijekuwa na mtazamo wa kibaguzi ninaona katika uzi huu
tumwache prof aelimishe umma juu ya katiba ya sasa ili Watanzania wawe na uelewa mzuri wa kuchangia maoni yao badala ya kuachia vikundi vichache vya watu kuwasemea hivyo si busara kuanza kuhoji Prof Katumwa na nani wakati huu kwani yaliyotekea zanzibar na matamshi ya prof ni coincidence tu ,mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.