Yes, acheni siasa chafu za kusafishana nyie wote mnaojifanya wanaharakati uchwara wanasiasa midomo bila kichwa, zitto AMERAMBA MKENGE katika hili, amejikwaa mh. Ni binadamu.
Ameacha maslah ya watanzania maskin sana, ameunga mkono maslah ya wabunge ambao ni well off, iitwe ni posho au...
uMEJIKANYAGA @ ustadh, mada ni zitto kuwa ndumi la kuwili. Mawazo kama "kwani zitto alizaliwa kukuonesha kila mwelekeo" ni upuuz na SIO POINT. Na kwa kauli hii ""zitto si msaafu wa vijana nchi hii wala siye QURAN AU BIBLIA kuna vijana wengi bado tunawangazia macho" inaonesha kuwa uwezo wako wa...
Kimsingi kutokana na hali halisi ya no ajira na hii ndo tanzania yetu ,graduates tunao subiri kitaa 4 jw tupo kibao, wadau jaribuni kutembelea maeneo ya upanga mtuupdate
Dah brother huyo hicho ni choo cha kike,hamna kitu kama hicho.. Watanzania tumeuacha utanzania na tukaanza kufikiria kwa fikra za kigen.. Huo sio uafrica wetu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.