Habari!
Naomba mnisaidie kuchanganua haya! Nna rafiki yangu yuko na mpenzi wake. Cha ajabu mkaka hamwambii nakupenda kama zamani na akimuuliza mwanaume anasema eti sio lazima kusema nakupenda ili kuonesha kua unampenda mtu. Kingine, huyu mdada hajawai kuonja ata senti ya huyu mwanaume... Mkaka...
Habari!
Kumekua na uwepo wa vituo vitoavyo tiba mbadala nchini, ningependa fahamu kama hawa watu wanatibu magonjwa ya akili au wana limit ya magonjwa wanayoweza kuyatibu?
Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.