Kuna Products zinazokua packaged currently. So kazi ni kusupply kwenye masoko ambayo yapo na na pia kushauriana ni jinsi gan ya kutangaza bidhaa na kuongeza masoko ya bidhaa zetu.
Nimeanzisha Kampuni ambayo inahitaji mtu anayeelewa marketing na pia advertising vizur ili tushauriane na kufanya kazi pamoja. Aliyetayar anipigie 0713-778792 .... Awe na umri wa miaka 20-25.. Email:ibrahim_abeid@yahoo.com
Ukichukua mwngi tutarekeebishiana tutaelewana nashindwa kutaja bei maana naweza leta mchele mzur kuliko grade 1 unayoisema wewe pia kwaio nashauri unichek.
Email: ibrahim_abeid@yahoo.com ....Niambie unahitaji kiasi gan grade 1 na 2 na upo Arusha maeneo gani ili nikutumie sample iliopo halafu tupatane bei. Namba ya sim: 0713 778792
Habar wanajamvi. Kwa anaefaham kuhusu kilimo cha Kahawa na Majan ya Chai .... Maeneo ya kilimo na soko lake anifahamishe Jamani. Tusiwe wakimya tuelimishane jamani. Asante
Za saahiz vijana wenzangu,
Polen na majukumu ya kujenga taifa. Samahan naomba tafadhali mwenye kujua utaratibu mzima wa kupata nembo ya shirika la Viwango (tbs) kwenye bidhaa unayoitengeneza unafanyeje.
Nimekua nikiuza mchele hapa Dar es salaam kwa muda mrefu sana na bei inategemea na sehemu ambapo mnunuzi atapanga afikishiwe. Mfano: Kwa Dar es salaam bei ni 1050-1800 kulingana na makubaliano. Kwa mimi pia mnunuzi itabid achague ni mchele wa aina gan anaouhitaj maana mchele unapangiwa bei...
Habari vijana wenzangu
Mi ni mkulima maeneo ya shinyanga nilietafuta soko la mchele wngu kwa muda mrefu bila mafanikio. Nimelima kiasi cha zaid ya tan52 ninaomba muongozo kwa mwenye kujua masoko ya ndani na nnje ya nnchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.