Hilo jukumu aliwapa Lubuva 25.10.2015 baada ya kufanya figisufigisu , wala msiwabebeshe wapinzani huo mzigo. Komaeni safari ndiyo imeanza hata robo hamjafika.
Upande wa Kiss kuna yule jamaa thoby splash, alikuwa na base, hiyo base yake alikuwa ananata na lugha ya malkia mpaka unatamani jamaa aendelea kuongea tu.
Samweli David Joseph mwana wa kiama "Uncle sam" aka the gramper, kipindi cha bunge la wasikilizaji. Daah ilikuwa poa sana, pia na yule Roy Mlaliki Maganga usiku wa mahaba na kipindi cha nimekusamehe lakini sitakasahau, hiyo generation sijui kama itakuja kutokea tena kwa RFA!
Sijui simba mlienda kufanyaje Zanzibar maana mmekosa vyote, bingwa azam, mfungaji bora Msuva wa Yanga na kipa bora azam. Sasa nyie mikia fc mlifata nini huko?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.