Mwalimu Idara ya Elimu Msingi Njoo wilaya ya Makete Mkoa wa Njombe inapakana na Mkoa wa Mbeya, Mwalimu aje mkoa wa Mwanza wilaya yoyote ile. Ni PM nikuanganishe naye.
Mwalimu yupo Idara ya elimu msingi Halmashauri wilaya Makete mkoa wa njombe anatafuta mwalimu wa kubadilishana naye toka wiiaya ya Misungwi Mwanza. Aliyetayari ani PM nimuunganishe naye.
kumbe janga la kizungu ni kubwa sana hata hapa JF hakuna Updates ya mambo yanayoendelea bungeni.wengine hatuna TV tulitegemea hapa kama ilivyosiku zote.! ya leo kali.
Wao walishindwa kufanya biashara viwanda vyao vikafa. kama bill za maji na umeme mashirika ya serikali ni wadaiwa sugu! wataweza kulipa kodi tunayolipa sisi wafanyabiashara?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.