Mimi Mzazi nikikosa hela ya kununulia sare za shule na nimeambiwa nimpeleke hivyo hivyo akiwa hana sare,sasa katika hili inamaana sare zimeshafutwa???naombeni mnisaidie kama kuna mtu anajua.
Tuzingatie sheria na kanuni zake zinasemaje!!!!!,huwezi kupoteza haki yako ya kugombea kwa kuwa ni ex -DED........watu mkishindwa hoja za kisiasa njooni huku shambani maana kuna kazi zingine za kufanya.
Acha ujinga,rushwa inaruhusiwa?kiongozi Mstaafu kwa nn anahangaika hivyo?kwan ulaghai wa benki ya walimu ni uwongo?kwan nani kakuambia CWT ni mtetezi wa walimu?kwa toka % 2 ianze kukatwa -------kuna ulazima wa kuendele kuwa Kata walimu % hii mpaka Leo.Tafakari kama ww ni Mwl.kama siyo haikuhusu.
Hongera Dr. E.Mdolwa kwa kuchaguliwa kuwa M/kiti wa Wazazi Taifa.Binafsi namfahamu vizuri sana ni mwanauchumi mzuri na mwanaccm halisi......kabla ya kuchaguliwa nafasi hii,alikuwa m/kiti wa Wazazi Mkoa wa Tanga.HONGERA DAKTARI EDMUND MDOLWA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.