Naombeni ushauri maana nahisi kukata tamaa zidi ya betting kila siku nachana mkeka mbaya zaidi nakosa tmu moja tu Kati ya tano. Na mbaya zaidi ile timu kubwa ndo zinaniangusha kwa mfano :hivi inaingia akilini kweli man u kufungwa na Brighton? Man city kutoa sare na hunderfield?
Ngoja niongee kwa kiinglishi kuonesha msisitizo DONT DARE kuinama hata kujikuna wala kujifanya una ujanja wa kutaka kumdhuru Kama huwezi fanikiwa kwa koboko(black mamba) ni nyoka yuko faster kulko nyoka yeyote unamjua au ulishawahi kumuona. DONT DARE YOU WONT SUCCESSED.
Niliomba Masaada kwenye thread Kama mbili jinsi ya kupata pesa yangu kidogo kutoka mbet niliyoshinda watu wanapita na kuangalia tu kama nyanya chungu. Nilikuwa na mtaji wa shilingi 2000 sasa umekata na nahitaji hyo pesa lakn hakuna anayenisaidia. Basi acha nikae bola kubeti si ndo raha tenure.
Mm ni mchezaji wa betting aina ya mbet kwenye simu sasa juzi nimeshinda kiasi kidogo cha pesa na kwenye wallet details inaonesha nimeshinda yaan paid winner lakini mpaka sasa sijaona hlo salio kwenye account yangu ya mpesa na nikipiga customer care haipokelewi naombeni mwenye kujua anijulishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.