Preta mtoto akianzishiwa chakula mapema anapata madhara makubwa especially intestinal bleeding..magonjwa mengi yawapatao watoto ni kutokana na mtoto kukosa kinga kutoka kwa mama kupitia maziwa ya mama..
Wanawake lazima wabadilike,ukiamua kuwa na mtoto hakikisha unamnyonyesha mtoto mpaka umri husika unapofika wa kumuachisha,jaman watoto wanateseka hawawezi kuongea lakini wanateseka sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.