Sasa unamchimba mkwara mtu aliyeibiwa na wakati amewasiliana na wahusika na mekubali kuwa atarudishiwa, wewe ni nani mpaka ukatae? achaVoda wenyewe wajibu
Mara nyingi Wazazi wa kiume wanazingua sana,Mimi mzee wangu alizingua sana narudishwa ada yeye hana habari ukimfuata ofisini anazingua, ila pamoja na hayo yote nampenda sana mzazi wangu maana bila yeye sio mimi
Wanaume kwa kweli tulipofikia pabaya sana, mwanaume unalia msibani mwanamke afanyaje sasa? mbaya zaidi hata kwenye mahusiano unamvisha mwanamke pete huku unalia, huu ni umama kwa kweli
gharama ya kupanda Mlima kwa mzawa ni Tshs 1500 ila kuna gharama kama kutafuta mbeba mizigo pamoja na chakula portal upate Tour Guide ambaye atakuongoza. Unatarajia kupandia eneo gani Marangu, Longai, Machame au......Na kama una nia jitahidi uitekeleze. Mimi nimepanda mwaka jana mwezi wa 11 na...
Wapo vizuri endapo kama utalipa mkopo wao kwa wakati mimi sasa hivi wananidai Tsh. 168000 na natakiwa kulipa tarehe 27/8. wanasaidia sana wakati wa matatizo
Kijana karibu sana kwenye maisha ya ndoa, hasara na faida zipo kwa sababu mnakuwa binadamu wawili ambao kila mmoja ana tabia zake na ana malezi yake hivyo lazima mvumiliane ndipo mfanane tabia, usisite ingia kwa miguu miwili na Mungu atawabariki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.