Wakuu Nina skill za software and Application development, ebo nipeni wazo ambalo likifamyiwa kazi kwenye IT linaweza solve mambo mengi kwenye jamiu na litaleta faida kubwa.
NB: Liwe wazo litakalo ishu, Yani likifamyiwa kazi linaweza dumu Kwa muda mlefu sana.
Kuna program nimepata inaitwa SPSS Modeler vipi inaweza nisaidiaje kwenye kazi ya research yangu? Nahitaji kufanya research na nataka niitumie hii kufanya hiyo kazi ndugu zangu.
Ili kupambana na afya ya Akili unatakiwa kufanya yafuatayo:-
1) Niweke bize kila siku Kwa kuwa na kitu cha kufanya.
2)Fanya vitu unavyovipenda sana, mfano kama ni mtazamaji wa muvi fanya hivyo.
3) Fanya breathing techniques (mazoezi ya pumzi) kila siku asubuhi ya jioni huku ukitafakari juu ya...
Binafsi kama ningepata mtu wa Kuni guide ingependeza sana maana nahitaji kuitumia kwenye research yangu, au kama kuna yeyote mwenye uzoefu wa research za namna hii anisaidie.
Asante sana Kwa michango yenu, kiujimla Sina Degree ya Statistics Wala hesabu, ila nimesoma computer science na Information Security, hesabu nilisima advance.
Hello ndugu zangu habari za Muda huu, Matumaini yangu mnaendelea vizuri na majukumu ya ujenzi wa Taifa.
Ni Kwa namna gani naweza soma au jifunza hizi course tajwa hapo juu? Kama kuna yeyote mwenye muongozi nahitaji msaada.
Nenda hospital kubwa mapema ukacheki vipimo alivyoorozesha mdau hapa juu, kuvimba Kwa mwili hasahasa uso vinaendana na kufeli ya Figo. Ila inaweza kuwa hata kuwa na kiwango kikubwa cha sumu mwilini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.