...yap tupo pamoja ktk kuhakikisha tunamaliza au kupunguza magonjwa haya makubwa yanayotutesa.mawazo yetu wengi ni mazuri ila nadhani kama dawa hiyo ilianza kutumika zaidi ya mwaka naamini kutokana na wingi wa wanaokwenda huko unatokana na wingi wa waliopata nafuu kama si kupona.hivyo nadhani...
Kibinaadamu hali hiyo haipendezi ikiwa upande wa pili haujabadili mwenendo ulioanza nao,ingawaje pia c vizuri hata kama hamuelewani hatua kama hizo huongeza tatizo,suluhisho la hali hiyo ni kila mmoja kuongeza mapenzi na unyenyekevu kwa mwenzie kwani hata mwanaume akiwa kama huyo rais wa wapi...
kwanza pole sana bibie,wewe ulianza kujiumiza mwenyewe kwa kumfata huyo aliyekuwa c kiongozi mwema kwani mwanaume anatakiwa kuwa kiongozi mwema,pili ulipoumizwa ukapatwa hasira ambazo zilikufikisha kuamua kujipa likizo ya nyundo 5,nina hakika ulijiamini kuwa ungeweza kufikia lengo lako na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.