Binadamu wa kale/ wa mwanzo hawakuweza kuacha nakala/ maandishi ya kueleza walitokea wapi pamoja na Dunia waliikutaje, hii ndio inaleta mgongano siku zote
Lakini sayansi haichoki inazidi kutupatia majibu na kadiri siku zinavozidi kwenda wanazidi kuleta data hivo kwa vizazi vijavo watapata majibu...
Umewaza mbali sana, mfano hai ni wadudu ambao hutokea kwenye takataka zilizokaa mida mrefu au mdudu ndani ya Kokwa la embe.
Conducive environment ndio inafanya uwepo wa kiumbe hai sehemu flani
Kwa wiki ya tarehe 23-27 nilikua mitaa ya Posta Mpya, Posta ya Zamani, Kivukoni, stand ya Makambusho na Mnazi mmoja kwa shughuli tofauti tofauti.
Nimekutana na vijana tofauti tofauti mitaa hiyo wakiwa wamevaa kiUtanashati kabisa lakini wamekua na maneno ya kutia shaka.
Kijana atakufata na...
Ogopa sana wafia dini, na usije kupoteza muda kuwaambia mnachokiamini hakipo.
Majibu yao ni mepesi mno, ni bora kuwaacha waendelee na dini na vitabu vilivyoletwa kwa msaada wa “mansoon winds” kupitia missionary na arabs
Cha msingi watoto wetu wapate elimu bora na sio bora elimu kupunguza au...
MANSOON WINDS zilileta Arabs na quran kwenye mashua.
Bila missionary huyo mungu mngemjulia wapi?
Mnauhakika gani bibilia na quran zilizoletwa na hao wageni hazikua edited kabla ya kusambazwa kwa kina juma mohamed na ezekiel?
China, Japan, Thailand hawakuruhusu “introduction of new religion”...
Hakuna mnyama/ kiumbe wa hatari aliewahi kutokea duniani kama BINADAMU kwanzia
Magereza
Mabomu
Nuclear
Pistol
Machine Gun
Ndege za kivita
Sheria za kunyongwa mpaka kufa
Dini
Vitisho vya kiama
Vyote hivi na mengine mengi viliwekwa ili kumControl huyu kiumbe anaitwa binadamu lakini bado amekua...
Kariakoo vyoo viko vingi mno ndio maana hakuna complain ya “vyoo”
Ngoja nikupe moja mbili
1. Sehem yeyote yenye bango la HOTEL, LODGE ingia huko choo ni bure kama Wanyama na Valentino
2. Sehemu za kula RESTAURANTS kama Raha ni bure
3. Sehemu zenye bango “CHOO CHA KULIPIA” kama stand ya...
Kwenye budget iliyosomwa bungeni na Nachemba Mwigulu alisemea wamekusudia kuongeza 10% kama tozo kwenye
bei ya mauzo kwenye kila mfuko mmoja wa cement inayotengenezwa ndani na ambazo ni imported
Airport wameajiriwa watu wasio na sifa au hadhi ya huduma kwa wasafiri,
Msafirishaji jukumu lake ni kuhakikisha una 1.passport ya Kusafiria
2. Ticket ya ndege
3. Visa
Lakini airport yetu hawa wanakua tofauti, anakuuliza invitation letter iko wapi? Address ya unaposhukia hiyo nchi unayoenda...
Before ajali “mungu nakuomba utufikishe salama”
Baada ya ajali “Namshukuru mungu nimepona”
Unamuombaje akulinde safarini halafu unakuja kumshukuru ajali ikitokea?
Nielewesheni
Waarabu na Wazungu hakuna kitu walipatia Africa kama kuleta dini zao,
Ni vurugu mechi ambazo sio rahisi kuzishinda.
Wafia DINI ni watu wenye matatizo ya akili waliochangamka
Zipo hivi
1.Makadirio ya Kodi ya Mwaka TRA
2. Service Levy 0.3% ya Z Report, Manispaa
3. 18% VAT returns TRA
4. Leseni ya Manispaa
5. Fire
6. Ulinzi Shirikishi
7. Usafi
8. OSHA (baadhi ya sehemu)
9. Ushuru wa Forodha (bandarini)
10. Import Tax airport (hii haina kiwango maalum)
11. Kodi ya...
Huu mradi ww BRT, Morroco to Bunju upo na tender ilikwisha tangazwa muda kidogo,
Kituo kutakua Bunju Dawasa
Maeneo ya Lugalo tayari wameanza kusogeza ukuta (uzio) kwa kujenga mwingine kwa ndani kupisha upanuzi wa hiyo njia kwaajili ya BRT
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.