Nyiyi makinikia fc so mnajisibu kumsainisha Ajib? vipi mbona hamrushi pics zake akisaini??
Simply bado mkataba haujaisha.....Simba imewatambulisha wachezaji iliyowasajili ambao wameshamaliza mikataba ndo maana had I sasa haijatangaza rasmi hadharani Niyonzima na Manula.......
Likewise nyie...
kila mtu aliona mlivyobebwa ndugu yangu.... na nitazidi kushangaa ikiwa bodi ya league ikiwaacha wamuzi wa jana hasa Israel Nkongo bila adhabu yoyote kwa mbeleko waliyoinyesha kwenu jana
hatuwezi kuendelea kuwaendekeza hao wahuni tena tukijisifu kuwa hawajaanza leo kuharibu uwanja.....wajenge viwanja vyao huo utabaki kwa ajili ya Timu za Taifa tu!!
na uelewe pia huo uwanja haujangewa bibi yako!
acha kujichetua.... ni msimu gani Simba walimaliza bila kufungwa wakakosa ubingwa??
msimu waliomaliza bila kufungwa ndo walikukung'uta 5-0 na ubingwa juu !!
Halafu eti kuna agenda ya kujadili adhabu tuliyopewa na serikali kutokana na vurugu zilizofanywa na Simba!!! pathetic !! kwani Yanga haikufanya vurugu??? kwani magate yalivunjwa na nani?? au kwenu nyie huo sio uharibifu au sio vurugu???
Tafadhali serikali simamieni maamuzi yenu hawa wahuni wote...
hivi hizi ni agenda za mkutano au ni maamuzi yanayopendekezwa??
mbona tayari msimamo wa Kanjubahi umeshaonekana live kupitia hicho kinachoitwa agenda?? yaani tayari agenda zimejadiliwa kabla ya kufikishwa kwa wanachama??
hivi zimeandaliwa na mtu anayejiita katibu wa Yanga au ni mburula mmoja...
Hivi huyo jamaa si ni proo?
sasa mbona Simba inao maproo nane kama bado yupo msimbazi?
kumbuka maproo simba ni wafuatao:
Angban, Juuko, Mwanjali, Bokungu, Ndusha, Mavugo, Blagnon
Sasa akiongezeka na HIJJA UGANDO (sio Hajji) si watazidi idadi ya maproo saba?
au mm ndo sielewi uraia wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.