royal tour ilikuwa kumpa kick ssh haikuwa na malengo ya kuongeza wataliii. sasa toka lini watanzani tukawa na interest ya utaliii. filamu inaonyeshwa buree tukaangalie ....then what next
kimaisara juzi
week iliyoisha tulikuwa kazini napofanyia kazi....
basi kipindi tupo kolidoni akapita msela wangu alinikuta namuelekza bi dada mmoja kitu cha kiofisi....alivyoona akananiuliza unamjua na unamfahamau huyo dada nikamjibu namfahamu kama mfanyakazi na nilikuwa namuelekeza mambo ya...
Sio kila style inawezekana kuna wadada wenye short pelvis ukiwaweka style hiyo unagusa kizazi wanakuwa hawapo comfortable..... elewa anaposema anaumia kwelii na hawezi kuwa comfortable find the most comfortable styles.....
Kuumia sio kusikia raha kuumia ni maumivu bwana.
Sent from my SM-J260F...
Kumrudia inawezekana Ila Mara nyingi sana huwa wanaishia kuachana piaa. Maana tayari mnakuwa hamna hofu ya kuachana Tena tofauti na mwanzoni kila mmoja anakuwa anaogopa kukuacha mwenzake ...
Alivyokuwa anawkatalia wana hasa wazee wenye hela zao na vijana wenye magari ya mkopo na aliyokuwa anasifiwa mie nilikuwa nabuni njia zangu kichwani nikasema hapa lazima njia ya kimasihara itumike.... Nikakukumbuka kaka mkubwa riki boy.. uishi milele mkuu
basi baada ya mda Ile naijua sura lipsi zikagongana nikavunga as if it was a mistake. nikaacha pale pale mdomo tukakkoss Mara deep touch touch touch Kama zote ...mara tukaanza kuvuanu nguo kati Kati nikavunga kujifanyisha sipo sawaa mtoto mzuka ushampanda tayari. basi tukaendeleza mechi ikapigwa...
Daaah Kuna sehemu moja naendaga kula chakula nikiwa siku za kazi ...
basi Kuna muhudumu mmoja huyo mtoto mweupe kang'aa kweli figure anayo mpk unawaza huyu amekoswa nn mpk anafanya kazi kama hizi jamani....
basi kila nilioomba namba ya simu mtoto anachomoa na pale pale Kuna mizee nayo huwa...
Napingana na maamuzi yako Kaka, hakuna mwanamke ambae hasaliti, Kuna msemo unasema ukitaka mahusiano yadumu jifanye mjinga wakati mwingine....... Na kuasalitiana kupo toka jana enzi na enzi. Soma kutabu Cha hoseaa. Alafu ndo ufanye maamuzi
Mpk unaoa hukuona hakuna mke hapo, kayataka mwenyewe huwezi kuoa mwaharakati utegemee ndoa ya amani. Wanaharakati wote wamebakia wasimbe mtaani. Ona Joyce kiria,faiza Ally n.k n.k. avumilie au aongeze mke wa pili atajifunzia au ataondoka amuaache akagnaye uanaharakati wake huko mitandaoni.
Basi bwana juzi hiyo nimempeleka mgonjwa hospital wa tatizo la kupumua (covd? Hospital moja mkoani dodoma.
Basi nimekaa pale parking kulikuwa karibu na choo Cha public mida ya mishale saa 7 usiku.
Nimekaa pale gafla akaapita mlinzi mdada wa makamo 20 Hadi 23 ndani ya uniform zao za security...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.