Unajua sana siasa mzee eti gold ore,
Wantanzania tumejaaliwa sana ujuaji kwa hiyo mimi nikisema 'high grade' wewe unajua naongelea mchanga au mawe ya mtoni siyo gold ore.
Umebakia kugeuka geuka tu.Ujuaji ujuaji kama wako huu ndiyo umeifikisha nchi yetu hapa.
Siyo ughaibuni tu hata hapa bongo ukifanya nao kazi utajifunza mengi wanachukia sana zile tabia zetu za kibongo uvivu,kuchoma mihogo muda wa kazi,ujuaji na kujifanya unajua sana.
jamaa kamshauri vizuri sana anyway.
Acha uongo wewe huyu jamaa enzi yake si kila kona ya nchi hii watu walikuwa wanafanya part?
kila mtu alikuwa kidume,hivi wale waliokuwa wanakunywa bia enzi zile asubuhi tu wameanza mpaka jioni bila kazi bado wapo? MHENGA unamatatizo gani?
Wewe ni mtu wa ajabu sana,mimi naongelea habari zingine wewe naye unaongea mambo yako.
Unarukia rukia mambo sana,hivi wewe mhenga mchanga wa dhahabu ni makinikia tu,kwa hiyo nilivyozungumzia habari za helikopta kuja mara 4 kwa wiki wewe ukajua naongelea makinikia au nilivyozungumzia 1g/t ukawa...
Na wameanzisha na vyombo vyao vya propaganda na taarifa za kupika ili kutupiga changa la macho, vyombo hivi ni kama vile
IMF -ya kwao
WHO-ya kwao
NATO- ya kwao
WFP-ya kwao
CNN
BBC
ukisikia taarifa yoyote kutoka vyanzo hivi unaamini kweli kweli kumbe urongo mtupu.
Ok sawa kama akina prof Mruma zile report zao zilkuwa ni chai kwanini Mh Rais alivyozuia yale makontena wenye migodi wakapagawa?,unazungumzia gharama za uzalishaji,hivi unafikiri kampuni inaweza kuwekeza billions of money bila kujua faida au kilichopo chini ya ardhi wanakuja kuchimba bila kujua...
Mkuu mi napenda sana unavyoongea kwa facts siyo blaa blaa ila tu ninachokiona kufahamu kinachozungumziwa hapo mpaka uwe na macho matatu, vinginevyo watu hawaelewi.
Hivi mkuu unafahamu kwamba sisi blacks especially Tanzanian tunawahusudu sana wazungu kiasi kwamba huwa nashindwa...
Ni sawa nakukaa kijiweni ukilalamika maisha magumu na kulaumu kwamba Marekani imesitisha misaada, nchi itayumba,tusiwachezee wazungu maana mzungu ni kila kitu,tumekuwa na hizi akili za makalioni muda mrefu sana.
Pamoja na historia hii nzuri ya mtu mweusi bado tunahitaji mapinduzi makubwa ya...
Mkuu nafahamu yote hayo unayoyasema,kitu ulichonifurahisha ni vile ulivyosema kwamba kwa akili yangu nafikiri kwamba sisi tunazalisha dhahabu nyingi kuliko hata South Africa acha utani Mkuu,ha ha ha ha!
Unataka kuniambia kwamba Australia au hata USA walichezewa hivi hivi kama tulivyochezewa...
Mkuu uwe makini sana na vitu unavyovizungumza hapa,unasema madini siyo big deal? serious?
Nimegundua kitu hapa baada ya maongezi haya kati yangu mimi na wewe kwamba tupo Watanzania wa tofauti tofauti sana.Ndiyo maana tunaitwa shithole akili zetu tulio wengi zipo kiuoni.
Asante mkuu one day yes...
Heading ya mleta hoja inasema-UTAJIRI WAGESI UMEPOTELEA WAPI?
Mimi katika mazungumzo yangu nikauhusisha huu utajiri wa gesi na tunavyosimuliwa na hawa wanasiasa kwamba wananchi tutafaidika moja kwa moja badala yake imekuwa tofauti.
Nikazungumzia pia kuhusu diamond, Urenium,Gold and all shit...
Ha ha ha ha! where is you're point exactly,ha ha ha ha! people of the Republic of Danganyika.
we have got diamond,gold,gas,urenium,Nikel and all shit,does these stuff take you anywhere?
Kwa hiyo mkuu unataka kutuaminisha kwamba hiyo Gas iliyopo deep sea italeta uchumi hapa Tanzania?,hakuna watu wa hovyo kama wanasiasa na wale woote wanaowalinda hovyo sana,why do you praise these stupid politicians,you know what? they work for satan, they are satanism,they can eat you alive...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.