Unaweza ukawa una hoja lakini ukapuuzwa ndugu, maana haueleweki una shida na Ndalichako, logo (sijui una maanisha ile ya bibi na bwana), mifumo, usahishaji.. yaani nadhani hata wahusika wasikuelewe nini hasa kwako kimekupata na hiyo Wizara? Kwa asilimia kubwa ndio Wizara iliyotulea wote humu...
Watu hawapaswi wasome, kwasababu ingekuwa ni lazima ingekuja in built .... vitu vya lazima vyote ni in built na vya hiari ni hiari....
Kuna watu tangu kuzaliwa kwao mpaka kufa kwao hawajawahi kujua kusoma au kuandika kutokana generation walizoishi, hii kwangu mimi inaniambia kusoma sio jambo...
Wote wote, kuna watu wanahofia siku wakijitambulisha ni atheist watatengwa na jamii zao... wanahofu hawatazikwa au kupewa msaada wowote wa kijamii na jamaa zao.
Lakini matendo ya watu tu, yanakwambia hawaamini wanayosema. Kuna watu humu utawaona wanakosoa sana watu waliokacha dini zao, na...
Wanachalenjiwa na hao wanaotoka kwenye hiyo dini, na wala sio hao wakristo unaosema. Consequences zake wanaishia kukimbia nchi na kwenda magharibi kutafuta hifadhi.
Ukiwekewa ushahidi utaukubali hapa wakati utaishia kusema ni propaganda kama kawaida yenu...
Kitu ambacho ukijui kuna watu wengi ambao ni atheists lakini mbele za watu wanajifanya ni waumini wa imani fulani.... maana kama mtu anaamini kwanin mambo yaliyokatazwa na huyo anayemwamini bado anayatenda? Midomoni ni watu wa dini ila kimatendo ni atheists...
Hapo kwenye style moja ya kifo cha mende... ni kweli kabisa, hata kama wamechoka miguu lakini bado wanakomalia same style... ukisema twende doggy style au njoo tupige missionaries, stimu zinakata..... hapo lazima tuchepuke.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.