Unanafasi kubwa sana yakubadilisha jamii yakiafrica kwa maana unafollower weng sana kwahiyo ukitumia pen na positive thinking itasaidia sana kuisaidia africa so tusilaumu na tusitoe matusi kwa Africa ila tuelimishen
Hahahaha mm nazan tuko nyuma sana kwa upande wa ufahamu wa mambo ndo mana hatuna uelewa kama hao unaowasifia ila hii sio upumbavu ila n ukosefu wamaarifa.kutatua ili swala n kwa njia kuuu moja kuwa na culture ya kusoma itasaidia kututoa kwenye ujinga
Biashara ya nyumba inafaida ila lkn kwa mda mrefu,pia iyo faida inategmea na eneo ambayo iyo nyumba IPO na ubora wa iyo nyumba,kama IPO karibu na stand barabara kuu maeneo hayo kodi n kubwa tofauti na zilizo mbali au kama miundo mbinu n mizuri pia nyumba itakua na thaman,pia huduma zilizopo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.