tungepata na takwinu zinazotakana na oral sex ingekuwa poa sana kama tunavyopata na za matumizi za vilevi n.k.. sema miaka ya hivi karibuni mambo yamebadirika kuna vitu usipovifanya unaonekana mshamba, ndio wengine tumeamua kubaki na ushamba
uko sahihi kabisa mkuu, kuna ile pia mtu akiona kwa upande wake yuko hivi anadhani wote wako hivyo sometimes ukiona kuna negative kwako za kutosha hujue kwa mwenzako kuna positivity za kutosha, sioni mantiki ya watu kufanana matabia ya hovyo
nakazia hapa, sioni sababu ya kuwa na wanawake wengi au zaidi ya mmoja hakuna jipya nje ya mwanamke 1, labda kama unataka watoto wengi kwa wakati nmoja unless ni mtu kuwa muhuni by nature au makuzi yake..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.