Siku nzima ya leo daladala zinazopiga route yakutoka Chang'ombe, Maili mbili Mipango, Veyula, UDOM, kuelekea jamatini stend zote zimegoma kufanya kazi "kwa madai kuwa wananyanyaswa sana na polisi wa barabarani kwa kuwakamata kila wakati na kuwadai rushwa" hawapati faida kazi yao ni kuwafanyia...
Wadau,
Wote wale wa fasioni,leo ni majozi kwetu kwa mtangazaji wetu nguli wa kipindi pendwa cha mafasioniii ameaga rasmi kuwa ndio mwisho wake kutangaza.
Hatuna budi kuwapongeza wasanii hawa mashuhuri katika Tasniaa ya uchekeshaji kwa mafanikio makuu wanayoyapata. Sasa hawa ni mfano wa kuigwa ni watu walio makini na kutunza majina yao (Image and reputation kwa public) hii imewajengea heshima na kupata Deal mpya kila wakati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.