Mkuu pole sana mimi hayo yashawai nikuta sema sijasutwa wala nini,unajua huwa inaumwa sana unapoona mwanaume mwezio anafanyiwa ivyoo,
mimi ilinikita kwa jirani yangu anamke wa pili watu wanamgongea ila mie nilimwambia kwa mafumbo sikumfungulia kurasa ila jamaa alishindwa himili mwanamke...
mkuu unaweza mpa pesa na bado akaomba kwingine hata vocha ya buku hii ni Tabia ,
kwahiyo hata kama haombi sio sababu ya kuhofia wengine ndivyo walivyoumbwa hawajazoea kuomba mpaka uwape au uwafikirie
Dada angu si kila mwanamke ameumbiwa mwanaume wake, nyinyi kwanza mko wengi kuliko sisi wanaume sasa ukikaa usubiri wako peke yako hutumpata bora kubanabana umo umo, maana mkisima kila mtu angoje wake , wengi mtakosa waume
Habar za asubuhi
Tumaini langu ni wazima nyote, na kwa wale wenye mitihaani mbali mbali basi nitumie fursa hii kuwaombea mola awape takhfifu katika yale mnayokabiliana nayo,
Sina lengo la kukatishana tamaa kwa wawekezaji wa ndani au wanje, nisije nikanukuliwa kama muhujumu mapenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.