Haya mapito tu, hiyo miaka 6 mbele nani atakubali timu iwe mbovu kama hii huku mwekezaji akibaki yuleyule?
Hivi vilabu kwa tunaovijua Wala hatubabaiki sana, vinatoaga furaha za misimu kadhaa siyo muda wote.
Mstarajie hata Simba SC kubaki dhaifu miaka yote.
Furaha imewazidi, tambeni ila muda...
Hili suala la hivi karibuni kuwa na utitiri wa case za Figo kufeli linahitaji tafiti mpya katika taifa letu.
Wataalamu wa afya wasijikite tu kwenye majibu ama sababu zilizowazi za miaka mingi. Wachunguze uwezekano wa visababishi vipya.
We mshenzi Nini? kifo kinajulikana kitakukumba lini? Yanga alipitia shida misimu minne ulikuwa wapi?
Mambo ya football yawe ya ziada, usiwekeze asilimia 100% ya furaha Yako.
Bingwa ni Mamelodi sundowns au Al Ahly.
Malalamiko ya kipuuzi hayasaidii lolote, lile halikuwa goli ni ushamba wa kushadadia vitu vidivyo na maana.
VAR iliwabeba Yanga katika tukio la Lomalisa dhidi ya Khuliso Mudau, mwanyeto dhidi ya Nyoso Lortch ilikuwa penati VAR haikutoa maamuzi yoyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.