ME 17:30 Today
Mimi mwalimu wa shule ya sekondari
ilboru arusha natahitaji kuhamia dar es
salaam kwa mwalimu yoyote anaetaka
kuhamia arusha tokea dar tuwasiliane
kwa namba +255767131671
I know very well that this is a political forum but i have a case sensitive then i saw it worthy to announce it here other than else where because kuna readers wengi na nahitaji kuhama seriously
Mimi mwalimu wa shule ya sekondari ilboru arusha natahitaji kuhamia dar es salaam kwa mwalimu yoyote anaetaka kuhamia arusha tokea dar tuwasiliane kwa namba
+255767131671
Kwakwel wana CCM wengi vilaza unavyosema akaulize kuhuse bei ya vitu enzi za ccm na sasa una maana Mh. Vicent ndo alipanga bei? Mfumuko wa bei ni nchi nzima na mbunge hawez kucontrol inflation ni serikal tu ya ccm iliyoko madarakani na it has proved a total failure on this...so whenever you...
Wote wanataka katiba mpya japo ccm wanataka ipitepite 2 ilimradi waweke historia ya kubadl katiba bila kujali ubora wake na chadema wanajali ubora wake kwa maslah ya nchi na wananchi
Hoja yako haina maana, fanya analytical research kwanza then uiandke tena.
Unatakiwa ujue cdm ina wafuasi wangap vijana tz then ufanye sampling study wangap wanataka kuwa wabunge then ndio ufanye recomendatios zake au hujasoma wewe? Nyie kwel ndo wasomi wa tz 2mekwisha.
Mi na marafk zang...
Safi sana mkuu kwa upembuz yakinifu, tanganyika inafanya yote hayo kuutetea muungano usivunjike ambao waznzbar hawautambui kwa sasa...serikali 3 ndio suluhisho
Jf is for great thinkers...your thoughts are great and i with all my hands, eyes, legs and everythng i possess absolutely support this idea...CDM take it not for granted but a real hot issue of discussion in your parliamentary meetings plse
Teachers
King Solomon Acaedemy
Date Listed: Feb 23, 2013
Email Address: Click to Email
Phone: +255 655 417 956
Area: Dar Es Salaam
Application Deadline: Feb 28, 2013
Position Description:
King Solomon Academy is Growing academic institution Located at Chanika, Ilala District, Deals with...
Ndugu zangu mi nipo arusha na nimepangiwa ajira mpya kagera-karagwe nahitaji mtu aliepangiwa arusha wa kubadilishana nae aende karagwe....namba zangu ni 0767131671
CCM juzi katika kampeni mh. wao kampeni meneja luhanjo kaporomosha matusi kama maji,sasa jamani kampeni ni matusi kwa chadema au ni kunadi sera sijui katiba inasemaje hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.