Wakazi wa Salasala Mboma road, tunakosa maji kwa muda wa wiki ya pili sasa. Wakati mnatandaza bomba kubwa kuelekea kilimani kwenye tank mlitupa mgawo kwa siku ya alhamisi na jumapili. lakini sasa hivi huo mgao hakuna na haieleki muelekeo wenu.
tukiwapigia simu wahusika wa huku wanakimbilia...
Na ndio anachotaka yatambuliwe kuwe na nyaraka za uingizaji hizo parts na kodi imelipwa. asichotaka huria isiyo na kikomo inayofuga vibaka wanaotuibia na kutakiwa kununua vifaa tulivyoibiwa.
Wakazi wa Salasala tulikuwa na ushirika wa watumia maji salasala, ushirka huu uliweza kutupatia maji mara tatu kwa wiki. mwaka jana tukarudishwa dawasco, imekuwa shida tunapata maji mara moja kwa wiki siku ya jumapili, mbaya zaidi maji mara kwa mara wanatoa kwa muda mfupi siku hiyo ya jumapili...
Tunaomba DAWASCO waturudishie mradi wetu ushirika wa watumia maji Salasala.
Huduma ya upatikanaji wa maji ilikuwa ya uhakika. Sasa hivi huku salasala Kilimahewa maji hayapatikani, yanatoka mara moja kw wiki siku ya jumapili. Tena jumapili nyingine hakuna, kama leo tarehe 14/05/2017 maji hakuna...
Hapo ni pwani labda kama haujui nini unaongea. Kiluvya ni wilaya ya kisarawe jipange.
Kazi ya usalama barabarani haifanywi kwa kujificha. Na mhusika akikosea ni haki aonyeshwe ushaihidi wa kosa. Na akilipa faini lazima apewe risiti halali ya serikali.
Illegal immigrant uliza mpaka wa mkoa wa...
Leo nilikuwa natoka Dar nakuja huku Morogoro, nilipofika Kiluvya kuna sehemu trafiki wanaka sana, zamani ilikuwa ni shamba ya Dr. Hashim, nikasimamishwa na trafiki kwamba nimetembea spidi ya 71. Nikamuuliza anionyeshe akanimbia kuna mwenzao kajificha kwenye mtelemko ndio anatumia taarifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.