Search results

  1. M

    Mzaha na dhiaka isiyomithilika; Kwanini Bunge litumie kodi zetu kujadili mambo ya Dini?

    Finished! Hatuna taifa tena! Thread mama ya hii iliyoanzishwa jana baada ya taarifa ya itv usiku, kwa masaa 24 (mbaka jioni ya leo) number of viewers ni zaidi ya 40,000 na comments ni zaidi ya 800. Lakini aina ya comments ndiyo zimetoa sura halisi kwani kuna jazba, kejeli, matusi, etc. Watu...
  2. M

    Nyaraka muhimu za skendo ya Wizara ya Ujenzi

    Tumefika hapa kutokana na vyombo vyote vyenye kumshauri Rais kuoza! Nilitegemea TISS washughulike na haya na siyo kudumaza democrasia kwa kusaidia kuiba kura eti chama Fulani kibaki madarakani. Utaifa uko wapi hapo?!
  3. M

    Mbowe atangaza Vita na Zitto katika Vikao vya ndani vya Chama

    Mkuu hayo maneno umeyatoa wapi? Kama ni kwenye audio hii mbona hayamo?!
  4. M

    Ubaguzi unaendelea kuitafuna CHADEMA

    Mtu akipendekeza serikali TATU (Mansour) kwenu nyinyi ni haki kumfukuza, CHADEMA wakifuata matakwa ya katiba yao wao ni wabaguzi!
  5. M

    Malalamiko: Tigo Tanzania

    Unachoongea ni sahihi kabisa. Mimi nilinunua kifurushi cha internet cha mwezi 20,000/=GB 35 lakini internet yao imekuwa low au hakuna kabisa. Sehemu nilipo ni Mabibo hostel wengi wanasema maybe kwa kuwa watumiaji ni wengi. Sasa kama kampuni wanatakiwa wajue spatio-problems ya huduma zao!
  6. M

    Kifo cha CCM kimetimia

    Nakuunga mkono 100%. Mimi nilikuwepo kwenye mdahalo wa leo pale Blue Pearl Ubungo kimsingi hali ilikuwa tete sana kwa wanaccm. Nilichoshuhudia ni kwamba the majority ya waliohudhuria hawakutaka kbs kusikia chochote kinachojadiriwa nje ya Rasimu ya pili (maoni ya wananchi) yaani km vile serikali...
  7. M

    UKAWA na Wanaharakati, Vyombo vya habari vs Tanzania kwanza na wananchi, Viongozi wa Dini, Wasomi

    Kwa fikra kama hizi we are still have a long way to go!
  8. M

    Zembwela acha upotoshaji...!

    Ni kweli kbs Zembwela anatatizo la kutojua pillars of the gvt na mipaka yake kiutendaji. Kipindi cha Super mix kinachorushwa hewani kuanzia saa 3 hadi 7 mchana EA RADIO kilikuwa more logical akiwepo Michael Baruti kwani yeye aliweza hata kumbishia Zembwela pale alipoona kunaombwe fulani la ufahamu!
  9. M

    CCM Makambako waandaa Sherehe za kumpongeza Deo Kasenyenda Sanga(jah people)

    Usiwalaumu wapiga kura bali CCM ndiyo waliowafanya hivo kwa aina ya elimu wanayopata na umasikini wa kupindukia. Jah people na ccm yake walitumia mapungufu hayo kuingia madarakani!
  10. M

    Mbowe: Alichowasilisha Wenje ni Msimamo wa Kambi ya Upinzani

    Wewe ndiyo hujui geopolitics, msingi wa Wenje ulibase kwenye objectivity ya MoU kati ya M23 na DRC waliosign Uganda, ambayo imewasamehe baadhi ya wapiganaji wa M23 na kuruhusiwa kurudi Congo as nationals. Hata kama Membe ameongea ukweli lakini ndiye amechemka kwa kutamka kuwa M23 ni Wanyawanda...
  11. M

    Dr Slaa: Mama Salma ni mama wa nyumbani!

    Some people live because it is illegal to kill them. Nyinyi mmesahau kuwa kizazi cha leo na kijacho kinahitaji mwanga wa maisha bora kupitia taasisi thabiti za kiserikali ambazo chombo pekee chenye mandate for institutionalization is the legitimate national constitution. Siyo constitution hiyo...
  12. M

    CHADEMA Arusha acheni kuzomea wanaovaa sare ya CCM

    Kama hujipendi pita pia umevaa nguo ya ccm mitaa ya makoroboi jijini Mwanza!
  13. M

    Zanzibar kutengewa 21% ajira katika wizara za Muungano

    Mkoa wa Mwanza wenye population watu zaidi ya milioni 2 (population census of 2012, URT population census report, 2013), lakini una mabalozi (high commissioners and ambassadors) watatu (3) tu, wakati huo Zanzibar yenye population ya watu 1,303,568 (population census 2012) ina mabalozi tisa (9)...
  14. M

    Nawaza zaidi ya wao: UKAWA ni distraction ya mgogoro wa CHADEMA

    'THE MOVIE CONTINUES' na siyo 'THE MOVIE CONTINUE'.
  15. M

    CCM Zanzibar na hatari ya kufa

    Legitimate ccm Zanzibar haijawahi kuwepo Zanzibar tangu mfumo wa vyama vingi uingie nchini (1995).
  16. M

    China will become the world's largest economy by the end of the year

    Classical economists and demographers think of quality and not the quantity-for a country to take off economically (Rostow's economic growth model).
  17. M

    Vituo vya kupiga kura kuongezeka maradufu nchini

    Muungano huu bwana, 15 kwa 43,625,434 (Watanganyika) na 5 kwa 1,303,568(Wazanzibar) siyo haki hapa wadanganyia tunaibiwa. Pia wanamabalozi nje wanaowakilisha Tz 15 (zanzibar) wakati huo mkoa wa Mwanza pekee wenye wakazi 2.5 million unamabalozi 2 tu wanaowaklisha Tz ughaibuni. Hii siyo haki kbs!
  18. M

    Ushaidi wa uhusiano kati ya CCM na Interahamwe ni huu hapa!

    Unyalulekho uveve ye wiholahola ifya-ccm!
  19. M

    Kura ya WAZI,matokeo ya mpasuko ndani ya CCM

    Wewe ndo hujijui!
Back
Top Bottom