:A S-rap:Umekula maharage ya wapi wewe???? Lini ZZK alishinda kesi? Alichofanya ni kuweka zuio/pingamizi na mwisho wa siku Zitto akashindwa hiyo kesi wacha kuandika kitu usicho kijua!:A S-rap:
Huyo mate wako anahaki ya kuacha kila kitu na kuwasikiliza nyie, wewe mtu anasoma wewe unamletea mwanamke wa nini? Hiyo room imekuwa guest? Kwanini usiende nae hotel au guest au sehemu nyingine yoyote yenye privacy mkakaa huko na kupiga story zetu? Mtu anasoma wewe unamletea demu, unataka...
Kama ndivyo ilivyo, lazima nikamtoe Jenister Mhagama jimbo la Peramiho, maana haiwezekani mimi nifanye kazi kwa miaka zaidi ya 30 nipate kiinua mgongo cha mil. 40 halafu Mbunge miaka 5 apawe mamilioni yote hayo! Jenister Mhagama tukutane Octoba hukohuko jimboni Peramiho!
Hivi kila mgomo unasababishwa na CHADEMA? Madereva wanawagomea waajili wao, na wanahoja za msingi hata serikali yenyewe inakili hilo! Ondoa ujinga jitahidi kuwa na mawzo huru, CCM wala CDM haihusiki katika hili!
Kile ni kilio cha furaha, maana anauhakika sasa wa kulala uchi kila siku na mume wake, siyo kama zamani ambapo alikuwa analala uchi mara mojamoja tena kwa kuibaiba!
Kazi hasa ya makalio ni nini? Kwa uelewa wangu, kazi ya makalio ni kumsadia mwenye nayo aweze kukaa vizuri, hivyo kama mtu/mwanamke anaweza kukaa vizuri akiwa na makalio madogo au flat screen kuna haja ya kuwa na makalio makubwa?
TLP imepitisha au amejipitisha kugombea Ubunge Vunjo? Naomba mnijuze wadau. Nijuavyo mimi, Mrema hana uwezo kwa sasa kushinda ubunge jimbo la Vunjo, nashauri apumzike asije kufa haraka kwa pressure za kampeni!
Wale akina dada/wanawake wazee (30+) nawashauri wakubali kuwa michepuko au wafanye maombi maalum ili wanaume wafiwe na wake zao ili waje kwenu, lasivyo mtalala na nguo zenu hadi mwisho wa maisha yenu!
Kama hii story ni ya kweli, basi huyo mwanamke hafai kuwa mke, hata wewe ikitokea siku unaumwa na huna pesa, anaweza kukuacha ufe hata kama yeye akaunti yake inasoma vizuri! Nashauri achana nae tena kimbia wala usiangalie nyuma, huwezi kuwa na mwanamke mbinafsi namna hiyo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.