Kulingana na katiba ya CUF mwenyekiti wa chama haruhusiwi kugombea ubunge, hivyo amelazimika kufanya hivyo ili aweze kugombea ubunge jimbo la Mbagala:baby:
Bora umeeleza na watu wenye akili finyu waliokuwa wakipinga hoja yako waone aibu...umeonyesha uwezo wa kujenga hoja na kukitetea unachofikiria bila kuyumbishwa....pamoja na hayo Watumishi hawawezi kukosa sababu wapo watu wengi wanao weza kushika nyadhfa hizo na walio na misimamo na wanaopenda...
Uamuzi mugumu kwa sababu amevunja baraza la rafiki zake au kwa sababu amevunja baraza la mawaziri ..........kama ni kuvunja baraza la marafiki zake huo ni uamuzi mgumu kweli maana atakosa watu wa kunywa nao na kusafiri nao, ila kama ni kuvunja baraza la mawaziri ni wajibu wake kwa sababu yeye...
Their hero? hw? huyu si alikua mmeru akabadilisha kabila na kuwa mmasai? ni hero wa kimasai, laigwanan tena, tena wameru wanapaswa wamtoe baru cuz kasaliti kabila lake
chonde chonde kaka mkubwa, tumeshapata taarifa kuwa mmeshaletewa muswada mtakao ujadili bunge lijalo kuhusiana na hayo makitu ya uzazi wa mpango, kwa niaba ya wana pro-life nakuomba uzungumzie yaliyomo ndani ya mpango wa mungu, na siyo mkajadili na kupitisha sheria ya utoaji mimba ambayo ipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.